Wednesday, October 25, 2017

NEWS:MSANII ROSA REE AONDOKA 'THE INDUSTRY'


Rapper Rosa Ree amefunguka ishu ya kuondoka katika label ya The Industry.Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Dow’ amesema mkataba wake na label hiyo ulimalizika na hakuongeza tena, hivyo hivi sasa anaendelea na watu waliokuwa akifanya nao kazi toka awali.

No comments:

Post a Comment