Friday, December 29, 2017
Thursday, December 28, 2017
Wednesday, December 27, 2017
NEWS:LULU DIVA ATANGAZA KOLABO YAKE NA WIZKID
Msanii wa muziki Bongo, Lulu Diva afunguka ujio wa kolabo yake na Wizkid kutoka Nigeria.Muimbaji huyo wa ngoma ‘Give It To Me’ ameiambia The Playlist kuwa mwakani kuna uwekano wa kufanyika kolabo hiyo.
“Watengemee kolabo may be Wizkid, alikuwa rafiki yangu lakini tulikuwa tunachati na kukutana naye nafikri nakumbuka ile party Diamond alifanya Mwanza Wizkid alikuja ku-perform hapo ndio nilionana naye kwa mara kwanza” amesema Lulu Diva.
Ameongeza kuwa kwa upande wa Bongo wapo wasanii wengi ambao anawafikiria lakini kwa sasa anatamani kuja kufanya kolabo na Vanessa Mdee.
Monday, December 25, 2017
Subscribe to:
Posts (Atom)