Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria, Davido amepatwa na msiba mwingine baada ya ule wa mshikaji wake ‘Tagbo’ aliyekutwa kauwawa na kutelekezwa kando ya hospitali, tukio ambalo liliibua utata kiasi cha Davido kuhusishwa katika uchunguzi wa kujua nini chanzo cha kufariki kwake.
No comments:
Post a Comment