Muigizaji wa vichekesho nchini kutoka Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ ameuaga ukapela baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyefahamikwa kwa jina la Tumaini, katika Kanisa Katoliki la Magomeni jijini Dar leo.
Ndoa hiyo imefungwa Jumamosi ya Agosti 28, mwaka huu katika Kanisa Katoliki la Magomeni jijini Dar. Sherehe ya harusi itafanyika leo jioni katika Ukumbi wa Mlimani City ambapo wadau na mastaa mbalimbali watahudhuria.
No comments:
Post a Comment